• HABARI MPYA

    Sunday, September 09, 2012

    SAGNA ASEMA UFEDHULI WA WAINGEREZA UNAFANYA WAFARANSA WAONEKANE WATAKATIFU


    Bacary Sagna
    DIG ... Bacary Sagna
    12

    NIDHAMU mbovu ya Wayne Rooney na wachezaji wengine wa England, inawafanya wachezaji wa Ufaransa waonekane “watakatifu”.

    Nyota huyo wa Manchester United, Rooney alifungiwa kwa kushangilia akitukana kwenye kamera ya TV mwaka jana.
    Nyota wa Manchester City, Samir Nasri naye aliropoka neno katika Euro 2012, lakini beki wa Arsenal, Mfaransa Bacary Sagna amesema: “Sielewi kwa nini. Wakati ukiangalia nidhamu ya wachezaji wa England ambao wanakwenda kwenye kamera na kusema ‘F*** off!’, Wafaransa wanaoneokana watakatifu.”

    Read more: http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/4528205/Bacary-Sagna-slams-Wayne-Rooney.html#ixzz25xZ410zC
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAGNA ASEMA UFEDHULI WA WAINGEREZA UNAFANYA WAFARANSA WAONEKANE WATAKATIFU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top