• HABARI MPYA

    Saturday, December 01, 2012

    ISRAEL NKONGO ALIPOGEUKA REFA WA NDONDI LUGOGO

    Refa Israel Nkongo wa Tanzania, akiamua ugomvi kati ya wachezaji wa Rwanda na Eritrea katika mchezo wa mwisho wa Kundi C, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge uliofanyika Uwanja wa Lugogo jioni ya leo. Mwenye jezi namba nane (8) ni Nahodha wa Rwanda, Haruna Niyonzima, akumzuia mchezaji wake kugombana na mchezaji wa Eritrea kushoto. Rwanda ilishinda 2-0 na sasa itavaana na Tanzania katika Robo Fainali.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ISRAEL NKONGO ALIPOGEUKA REFA WA NDONDI LUGOGO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top