• HABARI MPYA

    Friday, January 11, 2013

    TUSKER NA MIEMBENI KATIKA PICHA JANA USIKU AMAAN

    Kipa wa Tusker, Samuel Odhiambo akimvaa mshambuliaji wa Miembeni FC, Peter Ilunda kuudaka mpira katika mchezo wa usiku wa jana, Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Miembeni ilifungwa 2-0. 

    Beki wa Tusker, Luke Ochieng akitafuta mbinu za kumtoka kiungo wa Miembeni FC, Suleiman Ali katika mchezo wa usiku wa jana, Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Miembeni ilifungwa 2-0. 

    Kiungo wa Miembeni FC, Sabri Ally akigombea mpira na kiungo wa Tusker, Justine Monga katika mchezo wa usiku wa jana, Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, Uwanja wa Amaan, Zanzibar.  Miembeni ilifungwa 2-0. 

    Mwakilishi wa jimbo la Raha Leo, Salum Nassor ‘Aljazeera’ akiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Hajji Omar Kheir katika mechi ya jana.

    Mgeni rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Dk. Mwinyihajji Makame Mwadini akisalimiana na mchezaji mkongwe wa Miembeni FC, Monja Liseki kabla ya mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi usiku wa jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

    Mgeni rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Dk. Mwinyihajji Makame Mwadini akiwa na Rais wa ZFA, Aman Ibrahim Makungu kulia na Mwenyekiti wa zamani wa FAT (sasa TFF), Mzee Said Hamad El Maamry katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi usiku wa jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

    Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall akiwa na msaidizi wake Suren Lurz anayejifunza kutoka Ujerumani, 

    Nahodha wa Tusker, Joseph Shikokoti aliyekuwa anatumikia adhabu ya kadi jana, akiwa na Mkenya mwenzake anayechezea Azam, Joackins Atudo wakifuatilia mchezo wa jana

    Kiungo wa Miembeni FC, Sabri Ally akigombea mpira na kiungo wa Tusker, Justine Monga katika mchezo wa usiku wa jana, Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, Uwanja wa Amaan, Zanzibar.  Miembeni ilifungwa 2-0. 

    Wachezaji wa Azam kutoka kulia Humphrey Mieno, Kipre Balou na Brian Umony wakifuatilia mchezo wa jana

    Kiungo wa Miembeni FC, Issa Othman ‘Amasha’ akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Tusker, Khalid Aucho katika mchezo wa usiku wa jana, Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Miembeni ilifungwa 2-0. 

    Kiungo wa Miembeni FC, Sabri Ally akigombea mpira na kiungo wa Tusker, Justine Monga katika mchezo wa usiku wa jana, Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, Uwanja wa Amaan, Zanzibar.  Miembeni ilifungwa 2-0. 

    Mshambuliaji wa Miembeni FC, Rashid Roshwa akimiliki mpira mbele ya na beki wa Tusker katika mchezo wa usiku wa jana, Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, Uwanja wa Amaan, Zanzibar.  Miembeni ilifungwa 2-0. 
     
    Roshwa akiwania mpira wa juu dhidi ya beki wa Tusker

    Kiungo wa Miembeni, Issa Othman 'Amasha' akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tusker

    Mshambuliaji wa Miembeni, Laurent Mugia akigombea mpira na beki wa Tusker Luke Ochieng

    Kipa wa Tukser, Samuel Odhiambo akidaka mpira wa kona mbele ya wachezaji wa Miembeni, huku akilindwa vema na mabeki wake

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TUSKER NA MIEMBENI KATIKA PICHA JANA USIKU AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top