• HABARI MPYA

    Monday, February 11, 2013

    BALOTELLI AFUNGA BAO LA TATU MECHI MBILI AC MILAN


    MSHAMBULIAJI Mario Balotelli usiku wa leo amefunga tena bao akiichezea klabu yake mpya, AC Milan akiinusuru kuzama mbele ya Cagliari kwa kupata sare ya 1-1 kutokana na bao lake la penalti.
    Akitoka kufunga mabao mawili, likiwemo la penalti ya dakika ya mwisho Milan ikiifunga Udinese katika mechi yake ya kwanza kwenye klabu hiyo, siku saba zilizopita, mchezaji huyo aliyenunuliwa kwa Pauni Milioni 19, Januari kutoka Manchester City aliibeba tena timu yake mpya.
    Leveller: Mario Balotelli strokes home from the penalty spot to earn AC Milan a point
    Mario Balotelli akifunga kwa penalti
    Main man: Balotelli celebrates his goal (above) and also had one disallowed (below) as Milan drew
    Balotelli akishangilia bao lake na pia alifunga lingine ambalo lilikataliwa
    Main man: Balotelli celebrates his goal (above) and also had one disallowed (below) as Milan drew
    Balotelli kazini
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BALOTELLI AFUNGA BAO LA TATU MECHI MBILI AC MILAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top