• HABARI MPYA

    Sunday, April 07, 2013

    BAYERN MUNICH WAZEE WA REKODI, WATWAA UBINGWA BUNDESLIGA ILE KIBABE HASWA


    KLABU ya Bayern Munich imetwaa taji lake la 23 la Bundesliga ikiwa imebakiza mechi sita kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Eintracht Frankfurt.
    Kwa wiki kadhaa lilikuwa ni suaa tu la lini Bayern watatangazwa rasmi kuwa mabingwa wapya, wakiivua taji Borussia Dortmund na bao la Bastian Schweinsteiger dakika ya 53 limewapa wageni ushindi waliouhitaji.
    Ushindi huo, unaifanya Bayern itimize pointi 75, 20 zaidi dhidi ya Borussia Dortmund walio katika nafasi ya pili, ambao wameifunga Augsburg 4-2.
    Title winner: Bastian Schweinsteiger's strike was enough to beat Eintracht Frankfurt

    Mshindi wa taji: Bao la Bastian Schweinsteiger lilitosha kuizamisha Eintracht Frankfurt
    Frankfurt special: Bastian Schweinsteiger celebrates his goal
    Maalum Frankfurt: Bastian Schweinsteiger akishangilia bao lake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BAYERN MUNICH WAZEE WA REKODI, WATWAA UBINGWA BUNDESLIGA ILE KIBABE HASWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top