• HABARI MPYA

    Sunday, April 07, 2013

    BECKHAM KIDOGO AFUNGE BAO LAKE LA KWANZA UFARANSA LEO


    KLABU ya Paris Saint-Germain imeibwaga 2-0 Rennes na kuendeleza kasi yao ya kukimbia taji la ubingwa wa Ligi Kuu Ufaransa.
    Jeremy Menez alifunga bao la kwanza dakika ya 56 kwa PSG ambayo sasa inaongoza ligi kwa pointi saba zaidi. Zlatan Ibrahimovic alifunga la pili baada ya kazi nzuri ya David Beckham ambaye alikaribia kufunga bao lake la kwanza Ufaransa.
    Cool head: David Beckham lifts the ball over the on-rushing Benoit Costil
    David Beckham akiupitisha mpira juu ya kipa Benoit Costil
    PSG's David Beckham celebrates after the opening goal
    Beckham akishangilia baada ya kazi yake nzuri kumaliziwa na Zlatan Ibrahimovic dakika ya mwisho, akiiwezesha PSG kushinda mechi ya kwanza Rennes tangu 2002. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BECKHAM KIDOGO AFUNGE BAO LAKE LA KWANZA UFARANSA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top