• HABARI MPYA

    Monday, April 15, 2013

    GOTZE AIKATAA ARSENAL ILI KUJIPANGA ATUE BARCA


    MPANGO wa kocha Arsene Wenger kumnyakua Mario Gotze atue Arsenal umeingia kiza baada ya wakala wa kiungo huyo wa Borussia Dortmund kusema hana mpango wa kuhama mwishoni mwa msimu huu.
    Vyanzo vya habari vimesema kocha wa Gunners, amekosa kifaa kutokana na mpango wa nyota huyo kutaka kujiunga na Barcelona baada ya msimu mmoja zaidi Westfalenstadion.
    Msaidizi wa zamani wa Wenger Arsenal, David Dein, alisema klabu yake hiyo ya zamani ina orodha ndefu ya wachezaji inayotaka kuwasajili na Jumapili BIN ZUBEIRY ikaripoti  kwamba Gotze ni mchezaji aliyekuwa nafasi za juu kwenye orodha hiyo.
    Chini kabisa utakuta video ya mavitu ya Gotze
    Staying put: Gotze (centre) looks set to remain with Borussia Dortmund after his agent said he had no intention of leaving the Champions League semi-finalists this summer
    Haondoki: Gotze (katikati) anaonekana kutaka kubaki 

      VIDEO  Gotze akifanya vitu adimu Dortmund


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: GOTZE AIKATAA ARSENAL ILI KUJIPANGA ATUE BARCA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top