• HABARI MPYA

    Monday, April 08, 2013

    RONALDO AIONGOZA REAL KUUA 5-1


    KLABU ya Real Madrid imepunguza pengo la pointi dhidi ya vinara wa La Liga, Barcelona hadi 10 wakati Gonzalo Higuain, Kaka na Cristiano Ronaldo na Mesut Ozil waliotokea benchi walipoifungia mabao katika ushindi wa 5-1 dhidi ya  Levante.
    Kocha Jose Mourinho aliwaacha benchi mastaa wake kadhaa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kwenda kulinda ushindi wake wa 3-0 mbele ya Galatasaray Jumanne katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa.
    Sealed with a kiss: Cristiano Ronaldo helped make sure of Real Madrid's comfortable win over Levante
    Bao na busu: Cristiano Ronaldo alinenepesha ushindi wa Real Madrid dhidi ya Levante
    Sealed with a kiss: Cristiano Ronaldo helped make sure of Real Madrid's comfortable win over Levante
    Akiwaonyesha ishara ya busu mashabiki
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: RONALDO AIONGOZA REAL KUUA 5-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top