• HABARI MPYA

    Saturday, May 11, 2013

    BAYERN MUNICH WATAKA SAINI YA ROONEY

    IMEWEKWA MEI 11, 2013 SAA 3:50 ASUBUHI
    DILI la Wayne Rooney kuuzwa kwa Pauni Milioni 25 Chelsea limepata upinzani kufuatia taarifa kwamba, Bayern Munich wanataka pia kumsajili mshambuliaji huyo wa Manchester United.
    Wana fainali hao wa Ligi ya Mabingwa, Bayern wanataka kupambana na kocha anayetaka kuhama Real Madrid, Jose Mourinho na kwenda kuweka kambi tena Stamford Bridge na kuhakikisha Rooney anakuwa mchezaji wake wa kwanza kumsajili.
    Lakini BIN ZUBEIRY kupitia Sportsmail imegundua kwamba vyanzo vya ndani kutoka Allianz Arena vimepuuzia nia yoyote ya kumtaka mpachika mabao huyo wa Manchester United, hivyo kutoa mwanya wa Chelsea kumnasa kiulaini akaanze maisha mapya.Departing? Wayne Rooney could be set to leave Manchester United after nine years
    Anaondoka? Wayne Rooney anaweza kuondoka Manchester United baada ya miaka tisa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BAYERN MUNICH WATAKA SAINI YA ROONEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top