• HABARI MPYA

    Sunday, May 05, 2013

    MAYWEATHER NOMA...AMTWANGA KAMA GUNIA LA MAZOEZI GUERRERO NA KUTETEA MATAJI TA DUNIA


    BONDIA Floyd Mayweather Jnr ametoka gerezani na kuendeleza ubabe katika ndondi kwa kushinda pambano la uzito wa Welter dhidi ya Robert Guierrero kwa pointi.
    Robert Guerrero alishindwa pointi 117-111 zilizotolewa na majaji wote waliompa ushindi Mayweather.
    Katika pambano hilo, Mayweather alipoteza raundi ya pili tu kwa pointi 119-109.
    Wengi walikuwa wana wasiwasi baada ya Mayweather kutoka jela angeathirika kimchezo, lakini usiku wa jana alikuwa moto mkali.

    Still champion: Floyd Mayweather retained his welterweight title after unanimously outpointing Robert Guerrero
    Bado bingwa: Floyd Mayweather amerejea ubingwa wake wa Welter baada ya kumpiga kwa pointi Robert Guerrero
    Floyd Mayweather
    Floyd Mayweather
    On target: Mayweather's rapier right hand did the damage as he outclassed a disappointing Guerrero
    On target: Mayweather's rapier right hand did the damage as he outclassed a disappointing Guerrero
    Slipping and sliding: Mayweather demonstrates his brilliant defence to evade attacks from Guerrero
    Slipping and sliding: Mayweather demonstrates his brilliant defence to evade attacks from Guerrero

    Robert Guerrero
    Robert Guerrero
    On the attack: It was clear from the early stages that there was only going to be one winner in Las Vegas
    On the attack: It was clear from the early stages that there was only going to be one winner in Las Vegas
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAYWEATHER NOMA...AMTWANGA KAMA GUNIA LA MAZOEZI GUERRERO NA KUTETEA MATAJI TA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top