• HABARI MPYA

    Monday, May 13, 2013

    SIMBA SC ILIVYOJIFUA LEO MAO DZE TUNG

    Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezini jioni ya leo kwenye Uwanja wa Mao Dze Tung, Zanzibar kujiandaa na mchezo dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC Jumamosi wiki Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

    Mussa Mudde anamiliki mpira

    Nassor Masoud 'Chollo' kulia 

    Mwinyi Kazimoto akimiliki mpira katikati ya Shomary Kapombe na Haruna Shamte. Kulia Mrisho Ngassa na Jonas Mkude

    Kocha Mfaransa Patrick Liewig akiongoza vijana

    Jalamba lilinoga leo Mao

    Juma Kaseja yuko fiti

    Abbel Dhaira yuko fiti pia

    Hata Abuu Hashim anaweza kuanza pia Jumamosi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOJIFUA LEO MAO DZE TUNG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top