• HABARI MPYA

    Wednesday, May 08, 2013

    SIR ALEX FERGUSON KUWAAGA MASHABIKI JUMAPILI OLD TRAFFORD, MOYES NDIYE KOCHA MPYA MAN UNITED


    MEI 8, 2013
    KOCHA Sir Alex Ferguson anajiandaa kuhitimisha miaka yake 27 ya kuifundisha Manchester United.

    BIN ZUBEIRY inafahamu kupitia Sportsmail kwamba, mwalimu huyo mwenye umri wa miaka 71 anajiandaa kuuga umati wa mashabiki Uwanja wa Old Trafford Jumapili baada ya mechi ya United dhidi ya Swansea, wakati watakapokabidhiwa taji la ubingwa wa Ligi Kuu England, hilo likiwa la 13 chini ya Ferguson.
    Mazungumzo yanaendelea kumsaka mrithi wake na kocha wa Everton, David Moyes ni miongoni mwa wanaopewa nafasi.
    Master: The Scot is celebrating winning his 13th Premier League title as United boss
    Mtaalamu: Sir Alex Ferguson akishangilia taji la 13 la ubingwa wa Ligi Kuu England akiwa na Manchester United
    Fergie pops a cork
    Sir Alex Ferguson

    MATAJI 49 YA FERGIE...

    Sir Alex Ferguson ameshinda mataji 49 akiwa kocha mwenye mafanikio zaidi Uingereza...
    ST MIRREN
    Daraja la Kwanza Scotland (1): 1976-77.
    ABERDEEN
    Ligi Kuu Scotland (3): 1979-80, 1983-84, 1984-85.
    Kombe la Scotland (4): 1981-82, 1982-83, 1983-84, 1985-86.
    Kombe la Ligi Scotland (1): 1985-86.
    Kombe la Washindi Ulaya(1): 1982-83.
    Super Cup ya Ulaya (1): 1983.

    MANCHESTER UNITED
    Ligi Kuu England (13): 1992-93, 1993-94, 1995-96, 1996-97, 1998-99, 1999-2000, 2000-01, 2002-03, 2006-07, 2007-08, 2008-09, 2010-11, 2012-13.
    Kombe la FA (5): 1989-90, 1993-94, 1995-96, 1998-99, 2003-04.
    Kombe la Ligi Cup (4): 1991-92, 2005-06, 2008-09, 2009-10.
    Ngao ya Jamii/Hisani (10): 1990 (shared), 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011.
    Ligi ya Mabingwa Ulaya (2): 1998-99, 2007-08.
    Kombe la Washindi Ulaya (1): 1990-91.
    Super Cup ya Ulaya(1): 1991.
    Kombe la Mabara(1): 1999.
    Klabu Bingwa ya Dunia (1): 2008.
    Replacement? David Moyes is among the frontrunners to succeed Ferguson - and should they work together, here's how the pair would look in our mocked-up image

    Mrithi wake? David Moyes ni miongoni mwa wanaotajwa kurithi mikoba ya Ferguson
    That's handy: Moyes is odds on to replace Ferguson at Manchester United
    Mkono wa mikoba? Kocha wa Everton, Moyes anaongoza katika mbio za kuwania siti inayaochwa wazi na Ferguson Old Trafford
    Conquering Europe: Fergie lifts the Champions League trophy in Moscow in 2008
    Mafanikio hadi Ulaya: Fergie akiinua taji la Ligi ya Mabingwa mjini Moscow mwaka 2008
    Double top: Fergie, holding a Lifetime Achievement Award, with David Beckham, the winner of the BBC Sports Personality of the Year Award in 2001
    Tuzo mbili: Fergie, akiwa ameshika tuzo ya mafanikio ya muda mrefu ya BBC na David Beckham mwaka 2001
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIR ALEX FERGUSON KUWAAGA MASHABIKI JUMAPILI OLD TRAFFORD, MOYES NDIYE KOCHA MPYA MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top