• HABARI MPYA

    Wednesday, May 08, 2013

    MADRID SASA YAMTAKA SUAREZ


    MEI 8, 2013
    KLABU ya Atletico Madrid inaendelea kufuatilia nafasi ya Luis Suarez katika klabu ya Liverpool wakimfikiria akazibe pengo la Radamel Falcao.

    Klabu hiyo ya Hispania ni moja kati ya klabu kubwa Ulaya zinamzotaka yota huyo wa Uruguay, ambaye bado hajatoa msimamo wake kama atabaki au ataondoka Liverpool msimu ujao. 
    Suarez atakosa mechi sita za mwanzoni msimu ujao na Liverpool ina wasiwasi baada ya adhabu yake ya kumng'ata Branislav Ivanovic atataka kuondoka England mwishoni mwa msimu.
    On his way? Luis Suarez is serving a 10-game ban after biting Branislav Ivanovic
    Yuko njiani? Luis Suarez anatumikia adhabu ya kusimamishwa kwa mechi 10 baada ya kumng'ata Branislav Ivanovic
    Radamel Falcao
    Luis Suarez
    Suarez (kulia) anaweza kurithi mikoba ya Mcolombia Radamel Falcao (kushoto) akiondoka

    Bayern Munich na Juventus zinaandaa ofa, lakini Atletico imekuwa ikijiandaa kwa mwaka wote huu kuishi bila nyota huyo, Falcao anayetakiwa na Chelsea pia.
    Atletico inao wachezaji wengine wawili wa Uruguay, Diego Godin na Cristian Rodriguez wote rafiki wa Suarez.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MADRID SASA YAMTAKA SUAREZ Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top