• HABARI MPYA

    Thursday, August 15, 2013

    ENGLAND YATOKA NYUMA KWA 2-0 NA KUIFUMUA SCOTLAND 3-2

    IMEWEKWA AGOSTI 15, 2013 SAA 1:12 ASUBUHI
    ENGLAND jana imewafunga wapinzani wao, Scotland, mabao 3-2 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Wembley.
    Mabao ya England yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 29, Danny Welbeck dakika ya 53 na RickieLambert dakika ya 70, Scotland ilitangulia kupata mabao yake kupitia kwa Morrison dakika ya 11 na Miller 49.
    Kikosi cha England kilikuwa Hart, Walker, Cahill, Jagielka/Jones dk84, Baines, Cleverley/Milner dk67, Gerrard/Oxlade-Chamberlain dk62, Wilshere/Lampard dk46, Walcott/Zaha dk75 na Rooney.
    Scotland: McGregor, Hutton, Martin, Hanley, Whittaker, Snodgrass/Conway dk66, Morrison/Rhodes dk82, Brown, Forrest/Mulgrew dk67, Maloney/Naismith dk86, Miller/Griffiths dk73.
    Heads up: Rickie Lambert scored England's winner with this bullet header after coming on as a sub
    Rickie Lambert akiifungia bao la ushindi England
    Pure delight: Grinning from ear-to-ear, Lambert celebrates with Frank Lampard after his header
    Lambert akishangilia na Frank Lampard baada ya kufunga
    Crowded out: Rooney is swamped by Scotland players
    Off you go: Rooney makes way for Lambert

    Rooney akipambana na alisababisha bao la ushindi lililofungwa na Lambert
    Hostile: Rooney turns away from a stand packed with Scotland supporters
    Rooney akigeuka kutoka upande wa mashabiki wa Scotland 
    Blunder: James Morrison struck from a way out straight at Joe Hart
    James Morrison akifumua shuti kumtungua Joe Hart
    Incoming: Hard saw Morrison's shot come straight towards him
    Shuti la Morrison likielekea moja kwa moja nyavuni
    Whoops: But Hard somehow lost concentration at the vital moment and the ball hit him
    Kitu nyavuni
    Disaster:... and Hart watched in dismay as it hit the back of the net
    Majanga:... na Hart anashuhudia nyavu zake zinatikisika
    Remember this? Scotland's Gordon McQueen scores for his country at the same stadium in 1977
    Unaikumbuka hii? Mchezaji wa zamani wa Scotland, Gordon McQueen akiifungia nchi yake katika Uwanja huo huo mwaka 1977
    Back in it: Theo Walcott burst past his man and into the penalty area
    Theo Walcott akielekea kufunga akiwa ndani ya eneo la penalti
    Tucked away: After cutting inside past a defender Walcott fired home inside the near post
    Baada ya kumtoka beki, Walcott alifumua shuti hadi nyavuni
    Billowing: Walcott had left defenders in his wake before he struck the equaliser and finished with aplomb
    Bonge la bao...mambo ya Walcott
    Thanks Theo! Tom Cleverley hugs the Arsenal winger after his goal
    Asante Theo! Tom Cleverley akimkumbatia winga wa Arsenal baada ya kufunga
    Taking the lead: Kenny Miller restored Scotland's advantage with this second-half strike
    Kenny Miller akiifungia Scotland
    Mugged: Gary Cahill was completely dumbfounded by Miller's movement and the Scot took advantage
    Gary Cahill...
    How's that? Miller celebrates after giving England's Auld Enemy the lead
    Miller akishangilia baada ya kuwapa wapinzani wa England bao la kuongoza
    Level: Danny Welbeck rose high to nod home England's second equaliser
    La kusawazisha: Danny Welbeck aliisawazishia England
    How do you like that? Welbeck scored his sixth England goal with his sixth shot on target
    Welbeck amefunga bao la sita tangu aanze kuichezea England 
    Happy days? England players including Wayne Rooney (centre) celebrate Welbeck's equaliser
    Wachezaji wa England akiwemo Wayne Rooney (katikati) wakishangilia bao la kusawazisha la Welbeck
    No fun: Rooney looks sorry for himself as he leaves the field
    Rooney akiondoka kinyonge uwanjani.
    KWA MATOKEO YA MECHI NYINGINE ZOTE ZA KIRAFIKI JANA, SHUKA CHINI KABISA YA UKURASA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ENGLAND YATOKA NYUMA KWA 2-0 NA KUIFUMUA SCOTLAND 3-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top