• HABARI MPYA

    Saturday, August 17, 2013

    YANGA SC ILIVYOTWAA NGAO LEO KWA KUIANGAMZIA AZAM FC TAIFA

    IMEWEKWA AGOSTI 17, 2013 SAA 3:40 USIKUShujaa; Simon Msuva akimpongeza Salum Telela baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwa Yanga SC  leo dhidi ya Azam FC kwenye mechi ya kuwania Ngao ya Jamii, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

    Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akiinua Ngao

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidy Meckysadik kulia akimkabidhi Ngao, Nahodha wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro'

    Mshindi wa mechi; Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidy Meckysadik akimkabidhi Medali ya Dhahabu, kiungo wa Yanga na mfungaji wa bao pekee la ushindi leo, Salum Telela

    Juma Abdul wa Yanga akipambana na Waziri Salum wa Azam FC

    Hussein Javu kushoto akikabiliana na beki wa Azam FC, Joackins Atudo kulia. Kushoto ni Simon Msuva.

    David Luhende wa Yanga akikabiliana na Khamis Mcha 'Vialli' wa Azam

    Kipre Balou akikabiliana na Simom Msuva

    Kipre Balou na Msuva

    Athumani Iddi 'Chuji' akiwa amepinduka chini katika harakati za kuwania mpira

    Simon Msuva akimiliki mpira pembeni ya Kipre Balou

    Wajina; Salum Abubakar 'Sure Boy' kushoto akimtoka Salum Telela

    Salum wa Yanga na Salum wa Azam

    Washindi wa Ngao; Yanga SC kikosi cha leo

    Azam FC leo

    Kipa Aishi Manula akipangua mpira

    John Bocco 'Adebayor' wa Azam kulia akigombea mpira na Athumani Iddi 'Chuji' wa Yanga kushoto

    Kipre Balou kulia akimtoka Jerry Tegete

    David Luhende na Khamis Mcha 'Vialli' kushoto

    John Bocco akikosa bao la wazi. Hapa alimuumiza Kevin Yondan ambaye alishindwa kuendelea na mchezo dakika ya 11 

    Kevin Yondan akitibiwa

    Anatolewa nje...

    Khamis Mcha 'Vialli' alikosa bao la wazi hapa baada ya kazi nzuri ya Kipre Tchetche ambaye pia alimuumiza kipa wa Yanga, Ally Mustafa Barthez akashindwa kuendelea na mchezo dakika ya 15

    Kipa Deo Munishi 'Dida' wa Yanga SC akidaka kichwani kwa John Bocco

    Mbuyu Twite kulia na John Bocco 

    Nadir Haroub 'Cannavaro' akipambana na John Bocco

    Cannavaro akilalamika kwa kumshika mashavu mwamuzi msaidizi, Hamisi Chang'walu

    Kutoka kulia Didier Kavumbangu, Nadir Cannavaro na kipa Deo Munishi

    David Mwantika akikabiliana na Hussein Javu wa Yanga

    Hapa Aishi Manula alipishana na mpira wa adhabu uliopigwa na Haruna Niyonzima, uligonga mwamba wa juu ukashuka chini na kuondoshwa kwenye hatari 

    Didier Kavumbangu akimuacha chini Aggrey Morris

    Didier Kavumbangu na Aggrey Morris

    Hussein Javu na Salum Abubakar 'Sure Boy' wakigombea mpira wa juu

    Aishi Manula akidaka, huku Hussein Javu akipitiliza na David Mwantika akiwa tayari kutoa msaada

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: YANGA SC ILIVYOTWAA NGAO LEO KWA KUIANGAMZIA AZAM FC TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top