• HABARI MPYA

    Monday, October 07, 2013

    NI MBABE MPYA MWENYE MVUTO BAADA YA LENNOX LEWIS KATIKA NDONDI ZA UZITO WA JUU, ANAITWA JOSHUA, ANGALIA ALIVYOMUADHIBU MTALIANO

    IMEWEKWA OKTOBA 7, 2013 SAA 3:02 USIKU
    TANGU kustaafu kwa Lennox Lewis hajatokea mbabe mwingine mwenye mvuto katika ndondi za uzito wa juu, lakini Jumamosi usiku Anthony Joshua alionyesha anaweza kurudisha raha katika masumbwi ya uzito wa juu.
    Mbabe huyo wa London na mshindi wa Medali ya Dhahabu ya Olimpiki, alianza vyema ndondi za kulipwa kwa kumpiga mpinzani wake Emanuele Leo kwa Knockou (KO) Raundi ya kwanza ukumbi wa O2 Arena.
    Down and out: Anthony Joshua (left) floored Emanuele Leo in the first round of his professional debut
    Chali, kwisha kazi : Anthony Joshua (kushoto) akiwa amemdondosha Emanuele Leo katika Raundi ya kwanza kwenye pambano lake la kwanza la ndondi za kulipwa
    Anthony Joshua
    Tayari anatabiriwa kuwa Lennox Lewis mwingine na kutamba katika ulimwengu wa ndondi hadi kuwa bingwa asiyepingika wa uzito wa juu duniani.
    Anthony Joshua
    Anthony Joshua
    Kazi nyepesi: Joshua alianza vyema maisha ya ndondi za kulipwa
    Anthony Joshua
    Ana ngumi nzito
    Never in doubt: Joshua will return to the ring later this month as he looks to build momentum
    Anatisha kijana: Joshua atarejea ulingoni baadaye mwezi huu ili kujijenga zaidi 
    Never in doubt: Joshua will return to the ring later this month as he looks to build momentum
    Mwisho, konde la nguvu la Joshua limetua kichwani kwa jamaa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NI MBABE MPYA MWENYE MVUTO BAADA YA LENNOX LEWIS KATIKA NDONDI ZA UZITO WA JUU, ANAITWA JOSHUA, ANGALIA ALIVYOMUADHIBU MTALIANO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top