![]() |
| Winga wa Azam FC, Joseph Kimwaga alikaribia kufunga leo kama anavyoonekana hapa akikosa bao la wazi licha ya kufanikiwa kuwatoka mabeki na kumpiga chenga kipa Abbel Dhaira |
![]() |
| Hassan Hatibu akipambana na John Bocco |
![]() |
| John Bocco pia alikosa bao la wazi kufuatia krosi nzuri ya Joseph Kimwaga ambayo alishindwa kuunganisha ikapitiliza |
![]() |
| Issa Rashid 'Baba Ubaya' alimkaba sana Kipre Tchetche pamoja na kufungwa mabao yote ya Azam FC leo |
![]() |
| Mfungaji wa bao la Simba SC, Ramadhani Singano 'Messi' akienda chini baada ya kupamiwa na Humphrey Mieno wa Azam FC |
![]() |
| Betram Mombeki wa Simba SC akipambana na Erasto Nyoni wa Azam |
![]() |
| Zahor Pazi wa Simba akipambana na Humphrey Mieno wa Azam |
![]() |
| KIpre Tchetche akimfunga tela William Lucian 'Gallas' |
![]() |
| Mzee bomoa benki, usajii hapa huna timu; Katibu Mkuu wa zamani wa Simba SC, Kassim Dewji akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kulia |
![]() |
| Namna watu wanvyofuatilia mchezo kwa umakini, na hii mara nyingi hutokea timu yao inapokuwa imefungwa |
![]() |
| Farid Mussa naye alikosa bao la wazi baada ya kuingia akitokea benchi |
![]() |
| Kipre Tchetche akimtoka Baba Ubaya |
![]() |
| Salum Abubakar 'Sure Boy' alimvisha kanzu saizi yake Amri Kiemba |
![]() |
| Kipa wa Simba SC akidaka mpira juu ya kichwa cha mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco huku mabeki wake wakiwa tayari kumsaidia |
![]() |
| Kikosi cha Azam leo |
![]() |
| Kikosi cha Simba SC leo |



















.png)
0 comments:
Post a Comment