Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Toni Kroos bao lake alilofunga dakika ya tisa jana katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 40, Kroos dakika ya 56, Karim Benzema dakika ya 59 na Cristiano Ronaldo dakika ya 83, wakati na Rayo lilifungwa na Bueno dakika ya 44.
'Sensational' Sharma catch puts India in control as England start poorly
-
Deepti Sharma takes a stunning one-handed catch to dismisses Amy Jones for
four as England fall to 8-2 in their chase of 318 in the third and final
One Day...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment