Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
Oilers star Evander Kane slammed for 'dirty and classless' move after
losing to Panthers in Stanley Cup Finals
-
Nobody is quite sure when hockey's handshake line was born. The practice is
believed to be over a century old, but whenever it started, Edmonton Oilers
sta...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment