Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
At least one killed in Israeli strike on Gaza Red Crescent HQ, says aid
group
-
The Palestine Red Crescent Society (PRCS) said Sunday that an Israeli
strike on its headquarters in Khan Younis, Gaza, killed at least one staff
member and...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment