Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
Trump open to shifting US troops from Germany to Poland
-
Will US troops withdrawn from Germany be moved to Poland? When asked, US
President Donald Trump said Warsaw favours the idea, and it is
feasible.View on eu...
14 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment