![]() |
Beki wa Majimaji, Ally Mohamed akiteleza kuonda mpira miguuni mwa winga wa Rangers, Khalid Twahir. |
![]() |
Kiungo wa Rangers, Cred Mwaipopo kulia akimtia tobo beki wa Majimaji, Samir Said |
![]() |
Winga wa Rangers, Iddi Ismail akimuacha chini baada ya kumlamna chenga beki wa Majimaji |
![]() |
Mchezaji wa Rangers, Eliutel Justine (juu) akipambana na mchezaji wa Majimaji, Sadiq Gawaza |
![]() |
Mashabiki wa Rangers wakifurahia na mchezaji wao, Yussuf Mgwao jana |
0 comments:
Post a Comment