![]() |
Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Ame Ally kushoto akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Simba SC, Hassan Isihaka |
![]() | ||
Mshambuliaji wa Mtibwa, Mussa Hassan Mgosi akimtoka Tshabalala wa Simba SC
|
![]() |
Elias Maguri wa Simba SC kulia akitafuta maarifa ya kumtoka Salim Mbonde wa Mtibwa |
![]() |
Jonas Mkude wa Simba SC akimtoka Mgosi |
![]() |
Kipa Peter Manyika kulia akimpongeza Nahidha wake, Joseph Owino baada ya kufunga bao la kuongoza jana. Kushoto ni Maguri |
![]() |
Mshambuliaji wa Simba SC, Amisi Tambwe akimtoka beki wa Mtibwa, Majaliwa Shaaban |
0 comments:
Post a Comment