Tanzania, Taifa Stars imefungwa mabao 2-1 leo na Libya katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye viwanja vya hoteli ya The Green Park mjini Kartepe, Uturuki. Bao la Stars inayofundishwa na Charles Boniface Mkwasa lilifungwa mshambuliaji John Bocco 'Adebayor'. Stars imeweka kambi Uturuki kujiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya Nigeria Septemba 5, mwaka huu mjini Dar es Salaam.
Lagos urges calm after over 12 hours of heavy rainfall, tells residents to
be at alert
-
By Lukman Olabiyi Lagos State Government has appealed for calm among
residents following more than 12 hours of continuous heavy rainfall across
the state...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment