![]()  | 
| Juma Mnyassa akimdhibiti Nahodha wa Simba SC, Mussa Hassan Mgosi (kushoto) | 
![]()  | 
| Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akimuacha chini Nahodha wa Mwadui FC, Jabir Aziz Stima | 
![]()  | 
| Winga wa Simba SC, Mganda Simon Sserunkuma (kushoto) akiwania mpira dhidi ya beki wa Mwadui FC, Iddi Mobby (kulia) | 
![]()  | 
| Kiungo wa Simba SC, Mzimbabwe Justuce Kajabvi akipambana na kiungo wa Mwadui FC, Emmanuel Simwanza (kulia) | 
![]()  | 
| Beki wa Simba SC, Mganda Juuko Murushid akijaribu kuupitia mpira dhidi ya wachezaji wa Mwadui FC | 
![]()  | 
| Kiungo wa Simba SC, Petr Mwalyanzi akimtoka beki wa Mwadui FC, Malika Ndeule | 
![]()  | 
| Beki wa Simba SC, Samih Haji Nuhu akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Mwadui FC, Bakari Kigodeko | 










.png)
0 comments:
Post a Comment