![]()  | 
| Kiungo wa Azam FC, Farid Mussa akimlamba chenga beki wa Yanga SC, Mbuyu Twite kulia | 
![]()  | 
| Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka kiungo wa Azam FC, Jean Baptiste Mugiraneza wote raia wa Rwanda | 
![]()  | 
| Winga wa Yanga SC, Godfrey Mwashiuya akipasua katikati ya wachezaji wa Azam FC, Himid Mao kulia na Ame Ally 'Zungu' kushoto | 
![]()  | 
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma akimiliki mpira mbele ya bekiwa Azam FC, Serge Wawa | 
![]()  | 
| Beki wa Yanga SC, Mwinyi Hajji Mngwali (kulia) akimtoka mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche | 
![]()  | 
| Kipre Tchetche akiwania mpira wa juu dhidi ya beki wa Yanga SC | 
![]()  | 
| Kipa wa Yanga SC, Ally Mustafa 'Barthez' akiokoa mpira dhidi ya KIpr Tchetche wa Azam FC | 
![]()  | 
| Mashabiki wa Yanga SC wakifuatilia mchezo huo jana | 












.png)
0 comments:
Post a Comment