RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace John Karia jana amefunga Semina ya siku tatu ya Waamuzi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Je, tutarajie mabadiliko juu ya uchezeshaji wa marefa katika sehemu iliyobaki ya msimu?
0 comments:
Post a Comment