AZAM FC YACHAPWA 3-0 NA ESPERANCE MECHI YA KIRAFIKI LEO TUNISIA
TIMU ya Azam FC imechapwa Mabao 3-0 na wenyeji, Esperance katika mchezo wa kirafiki leo kwenye kambi yao ya kujiandaa na msimu mpya nchini Tunisia. Mechi ya kwanza ya kujipima nguvu Ijumaa iliyopita, Azam FC iliibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Al Hilal ya Sudan Jijini Tunis.
0 comments:
Post a Comment