NI TANZANIA, KENYA NA UGANDA WENYEJI WA AFCON 2027
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limezipa Tanzania, Kenya na Uganda uenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Pamoja na kuzipa nchi hizo za Afrika Mashariki uenyeji wa AFCON ya 2027, Rais wa CAF, Dk. Patrice Motsepe ameitaja Morocco kuwa mwenyeji wa AFCON ya 2025.
0 comments:
Post a Comment