Makamu Mwenyekiti
wa Kamati ya Saidia Serengeti Boys Ishinde, Kassim Mohamed Dewji akizungumza na
Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Serengeti, ndani ya hoteli ya JB Bellmonte,
katikati ya Jiji la Dar es Salaam asubuhi ya leo kuhusu maandalizi ya mechi ya
Jumapili dhidi ya Kongo Brazzaville, kuwania tiketi ya kucheza Fainali za U-17 Afrika.
Dewji amesema Kamati yake imefanikiwa kukusanya Sh. Milioni 35 kati ya Milioni
60 zinazotakiwa kwa maandalizi ya mchezo huo wa kwanza. Wengine kulia ni Henry Tandau, Katibu wa Kamati na kushoto, Angetile Osiah, Mjumbe wa Kamati.
|