• HABARI MPYA

    Tuesday, November 13, 2012

    STARS YAPANGWA NA KAVUMBANGU CHELLENGE

    Stars

    MICHUANO ya mwaka huu ya CECAFA Tusker Senior Challenge itafanyika nchini Uganda kuanzia Novemba 24 hadi Desemba 8 na Tanzania Bara imepangwa kundi moja, B na timu ya mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbangu, Burundi.
    KUNDI A: Uganda, Kenya, Ethiopia and South Sudan
    KUNDI B: Tanzania, Sudan, Burundi and Somalia
    KUNDI C: Malawi, Eritrea, Rwanda and Zanzibar
    ZINGATIA: Timu mbili za juu kutoka kila kundi zitafuzu Robo fainali kwa pamoja na washindi watatu bora wawili kutoka makundi yote.
    KUNDI A RATIBA:
    24 Novemba: Ethiopia v Sudan (Saa 9:00); Uganda v Kenya (Saa 12:00)
    27 Novemba: Sudan Kusini v Kenya (Saa 9:00); Uganda v Ethiopia (Saa 12:00)
    30 Novemba: Kenya v Ethiopia (Saa 9:00); Sudan Kusini v Uganda (Saa 12:00)
    KUNDI B RATIBA:
    25 Novemba: Burundi v Somalia (Saa 9:00); Tanzania v Sudan (Saa 12:00)
    28 Novemba: Somalia v Sudan (Saa 9:00); Tanzania v Burundi (Saa 12:00)
    1 Desemba: Sudan v Burundi (Saa 9:00); Somalia v Tanzania (Saa 12:00)
    KUNDI C RATIBA:
    26 Novemba: Zanzibar v Eritrea (Saa 9:00); Rwanda v Malawi (Saa 12:00)
    29 Novemba: Malawi v Eritrea (Saa 9:00); Rwanda v Zanzibar (Saa 12:00)
    1 Desemba: Malawi v Zanzibar (Saa 9:00); Eritrea v Rwanda (Saa 12:00)
    ROBO FAINALI:
    3 Desemba (Saa 10:00): Mshindi Kundi C vs Mshindi wa pili kundi B
    3 Desemba (Saa 1:00): Mshindi Kundi A vs Mshindi wa tatu Bora wa pili
    4 Desemba (Saa 10:00): Mshindi Kundi B vs Mshindi wa tatu bora wa kwanza
    4 Desemba (Saa 1:00): Mshindi wa pili Kundi A vs Mshindi wa pili Kundi C
    NUSU FAINALI
    Desemba 6
    Saa 10:00 (Nusu Fainali ya kwanza
    Saa 1:00 (Nusu Fainali ya pili)
    KUTAFUTA MSHINDI WA TATU:
    Desemba 8 (Saa 10:00)
    FAINALI: Desemba 8 (Saa 1:00)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: STARS YAPANGWA NA KAVUMBANGU CHELLENGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top