• HABARI MPYA

    Tuesday, May 05, 2015

    SANCHEZ APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA 3-1 HULL CITY



    Chilean forward Alexis Sanchez scored twice as Arsenal beat Hull City 3-1 at the KC Stadium on Monday night
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Chile, Alexis Sanchez (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa KC. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Aaron Ramsey wakati la Hull lilifungwa na Stephen Quinn.

    PICHA ZAIDI NENDA: 
    http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3067754/Hull-City-1-3-Arsenal-Alexis-Sanchez-nets-double-Aaron-Ramsey-scores-Gunners-sink-Premier-League-strugglers.html#ixzz3ZCqZXGzG 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA 3-1 HULL CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top