Kiungo Frank Lampard akiwapigia makofi mashabiki wa Manchester City wakati anatoka uwanjani kumpisha Jesus Navas dakika ya 76 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad leo. City ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Lampard na Sergio Aguero. Hii ilikuwa mechi ya mwisho ya Lampard aliyekuwa kwa mkopo Man City kabla ya kurejea Marekani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot delivers worrying Alexander Isak injury update ahead of
Liverpool's Real Madrid and Man City double-header
-
The £125million man has scored just one goal since his much-slated move to
Merseyside but has been irked by fitness concerns exacerbated by a recent
groin ...
14 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment