Kiungo Frank Lampard akiwapigia makofi mashabiki wa Manchester City wakati anatoka uwanjani kumpisha Jesus Navas dakika ya 76 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad leo. City ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Lampard na Sergio Aguero. Hii ilikuwa mechi ya mwisho ya Lampard aliyekuwa kwa mkopo Man City kabla ya kurejea Marekani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
49 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment