Wachezaji wa Liverpool, Adam Lallana (kushoto), Philippe Coutinho (katikati) na Steven Gerrard wakiwa hoi baada ya kipigo cha mabao 6-1 kutoka kwa Stoke City leo katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Mame Biram Diouf alifunga mabao mawili, Jonathan Walters, Steven N'Zonzi, Charlie Adam na Peter Crouch kila mmoja alifuga moja, wakati bao pekee la Liverpool lilifungwa na Gerrard aliyekuwa anacheza mechi ya mwisho kabla ya kuhamia LA Galaxy ya Marekani msimu ujao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GB's Shriever wins third BMX Women's Elite world title
-
Britain's Bethany Shriever wins her third world title in the Women's Elite
at the BMX Racing World Championships in Copenhagen.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment