Wachezaji wa Liverpool, Adam Lallana (kushoto), Philippe Coutinho (katikati) na Steven Gerrard wakiwa hoi baada ya kipigo cha mabao 6-1 kutoka kwa Stoke City leo katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Mame Biram Diouf alifunga mabao mawili, Jonathan Walters, Steven N'Zonzi, Charlie Adam na Peter Crouch kila mmoja alifuga moja, wakati bao pekee la Liverpool lilifungwa na Gerrard aliyekuwa anacheza mechi ya mwisho kabla ya kuhamia LA Galaxy ya Marekani msimu ujao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the touching Billy Slater dressing room act that speaks volumes about
his scandal-plagued State of Origin week
-
The Queensland coach had one of the most stressful build-ups to a match in
his long career as his job hung by a thread in Perth on Wednesday night.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment