Bondia Amir Khan (kulia) akimsukumia konde mpinzani wake, Chris Algieri (kushoto) katika pambano lao ubingwa wa dunia wa WBC Silver lililofanyika ukumbi wa Barclays Center, Brooklyn, New York, Marekani usiku wa kuamkia leo. Khan alishinda pwa pointi za majaji wote 117-111 (wawili) na 115-113 ingawa hakuwa katika ubora wake uliotarajiwa. Kwa mara nyingine Khan amemtaka Floyd Mayweather apigane naye September PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Davies back to lead Wales for crucial qualifiers
-
Tottenham defender Ben Davies returns from injury to lead Wales in their
final World Cup qualifying games against Liechtenstein and North Macedonia,
but Aa...
40 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment