Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Brom leo Uwanja wa Emirates katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na kiungo Jack Wilshere, wakati la kufutia machozi la West Brom lilifungwa na beki, Gareth McAuley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sunderland 1-1 Everton: Granit Xhaka cancels out Iliman Ndiaye's stunning
solo effort - as Black Cats stay in top four after second half fightback
-
DOMINIC KING AT THE STADIUM OF LIGHT: The fact your first instinct was to
think back to the greats, those who made it look the ball was on a string,
spoke ...
14 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment