Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Brom leo Uwanja wa Emirates katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na kiungo Jack Wilshere, wakati la kufutia machozi la West Brom lilifungwa na beki, Gareth McAuley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Athletic Club's unique player policy drives success
-
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only
Basque players, how this approach has brought success, and the importance
of the...
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment