Freddy Mbuna ni Nahodha mwenye ngekewa ya kipekee ndani ya Yanga, kwani msimu huu atanyanyua Kombe la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mara ya nne, tangu mwaka 2004 alipopewa mikoba hiyo. Hapa alikuwa akinyanyua taji la ubingwa wa msimu uliopita.
0 comments:
Post a Comment