Zuhura Mrisho Watuta katika picha tofauti: Zuhura pamoja na kuwa mwanamitindo, aliwahi kufanya kazi ya kupaka rangi magari na nyumba, ambayo nitaaluma yake ya awali aliyoisomea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).
KImwana huyo pia ni mwanamuziki anayefanya vizuri tu akiwa amekwishatoa albamu moja iitwayo Elimu Penzi.
Zuhura ni miongoni mwa wasanii wa awali wa Nyumba ya Vipaji (THT), yenye wakali wengine kama Mwasiti, Marlaw na wengine kibao.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment