 |
Taifa Stars wa kwanza kushoto ni kocha wa makipa, Juma Pondamali |
 |
Katikai Kim Poulsen kocha wa Stars, kushoto Msaidizi wake Sylvester Marsh na kulia Meneja Leopold Mukebezi |
 |
Azim Dewji kulia na Leonard Thadeo kushoto |
 |
Gwiji wa Simba, Abdallah Kibadeni kushoto na Uhuru Suleiman |
 |
Makocha wa Yanga, Freddy Felix Minziro na kocha wa makipa Mfaume Athumani wakiwa na beki wa zamani wa Yanga, Willy Martine 'Gari Kubwa' wa pili kutoka kushoto |
 |
Makumbi Juma katikati |
 |
Eric Sagala 'Cantona' katikati |
 |
Suleiman Matola kulia |
Juma Nyosso kushoto na John Bocco 'Adebayor' kulia wakiwa wamebeba jeneza
 |
Shabiki Mkongomani akidhibitiwa baada ya kupagawa alipoona jeneza la marehemu Mafisango |
 |
Amir Maftah aliyebeba msalaba na Mwinyi Kazimoto kashika picha |
 |
Nahodha wa Simba Juma Kaseja akisaidiwa baada ya kushindwa kujizuia na kuangua kilio kiasi cha kuishiwa nguvu |
 |
Kaseja ni huzuni na kilio |
 |
Jeneza la Patrick Mutesa Mafisango |
 |
Makamu Mwenyekiti wa Simba, Kaburu na Leslie Liunda kushoto |
 |
Kocha wa Simba, Milovan Cirkovick |
 |
Milovan kilio |
 |
Shabiki 'hayawani' la Yanga, maarufu kama J4 likicheka msibani |
 |
Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Dk Fennella Mukangara (wa pili kutoka kushoto)akiingia Uwanja wa TCC |
 |
Dk Fenella na Thadeo wakijadiliana |
 |
Jamal Malinzi mwenye miwani |
 |
Ibada |
 |
Mchungaji Tito Kyame akiongoza ibada ya kumuombea marehemu |
 |
Katibu wa Yanga, Celestine Mwesigwa akitoa rambirambi |
 |
Ofisa wa Push Mobile, mmoja wa wadhamini wa Simba akitoa rambirambi |
 |
Mwenyekiti wa Simba, ALhaj Ismail Aden Rage akitoa hotuba |
 |
Wazee wenye busara wa Simba |
 |
Rage akimuinua Dk Fenella akahutubie |
 |
Athumani Tippo 'Zozzou' |
 |
Kiggi Makassy kulia |
 |
Clement Kahbuka kushoto na Athumani Jumapili Chama kulia |
0 comments:
Post a Comment