• HABARI MPYA

    Sunday, May 20, 2012

    TWIGA STARS NA BANYANA LEO TAIFA

    Kikosi cha Twiga Stars; Leo kinacheza mchezo wa kujipima nguvu na Afrika Kusini, Banyana Banyana, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kocha wa timu hiyo, Charles Boniface Mkwasa, ameomba Watanzania wote waishio Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu hiyo katika mchezo huo na watafurahia matokeo mazuri. Mkwasa amesema safari hii timu iko vizuri na matokeo kama ya Zimbabwe hayatajirudia leo. Mungu ibariki Tanzania, ibariki Twiga Stars.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS NA BANYANA LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top