• HABARI MPYA

    Monday, January 07, 2013

    MAISHA YA CHUJI NDANI YA ANTALYA...


    Kiungo wa Yanga, Athumani Iddi ‘Chuji’ akisalimiana na Mturuki mmoja aliyezimia soka yake, katika hoteli ya Fame Residence Lara & Spa mjini Antalya. Yanga imeweka kambi huko tangu wiki iliyopita na inafanya mazoezi kwenye Uwanja wa Fame Residence.

    Kiungo wa Yanga, Athumani Iddi ‘Chuji’ akiwa na kiungo mwenzake wa timu hiyo, Haruna Niyonzima kwenye Uwanja wa Fame Residence.

    Kiungo wa Yanga, Athumani Iddi ‘Chuji’ akipiga gumzo na kipa wa timu hiyo, Said Mohamed katika ufukwe wa hoteli ya Fame Residence Lara & Spa mjini Antalya.  
    Kiungo wa Yanga, Athumani Iddi ‘Chuji’ (katikati) akiwa na wachezaji wenzake, kiungo Nurdin Bakari kulia na beki Godfrey Taita kushoto katika ufukwe wa hoteli ya Fame Residence Lara & Spa mjini Antalya.  
    Kiungo wa Yanga, Athumani Iddi ‘Chuji’ akiwa na beki Godfrey Taita kwenye Uwanja wa Fame Residence.

    Kiungo wa Yanga, Athumani Iddi ‘Chuji’ akiwa na beki Kevin yonda wakipata mlo wa asubuhi katika hoteli ya Fame Residence Lara & Spa mjini Antalya. 

    Chuji kwa raha zake
    Kiungo wa Yanga, Athumani Iddi ‘Chuji’ akiwa na swahiba wake beki Kevin Yondan, wakipata mlo wa asubuhi katika hoteli ya Fame Residence Lara & Spa mjini Antalya. Yanga imeweka kambi huko tangu wiki iliyopita na inafanya mazoezi kwenye Uwanja wa Fame Residence.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAISHA YA CHUJI NDANI YA ANTALYA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top