• HABARI MPYA

    Sunday, July 14, 2013

    LIVERPOOL YAUA 4-0, KOLO TOURE ANG'ARA NA UZI MWEKUNDU

    IMEWEKWA JULAI 14, 2013 SAA 10:00 ALFAJIRI
    LIVERPOOL imeanza vyema mechi zake za kujiandaa na msimu mpya, baada ya kuifumua 4-0 Preston North End.
    Philippe Coutinho alifunga bao la kwanza dakika ya 15 kwa penalti baada ya kuangushwa na kiungo wa Preston na wa zamani wa Liverpool, John Welsh.
    Bao hilo lilifungua biashara nzuri ya mabao mengine matatu, yaliyofungwa na Jordon Ibe, Raheem Sterling na Iago Aspas.
    Kocha Brendan Rodgers ambaye bado anaumizwa kichwa na mshambuliaji Luis Suarez, alikuwa mwenye furaha kutokana na matokeo hayo, beki mpya Kolo Toure aliyesajiliwa kutoka Manchester United aking'ara na uzi Mwekundu.
    Recruit: Aspas netted his first goal in a Liverpool shirt in the 4-0 win in Lancashire
    Mpya: Aspas amefunga bao lake la kwanza Liverpool katika ushindi wa 4-0 mjini Lancashire
    Opening: Philippe Coutinho of Liverpool celebrates with Jordan Ibe after scoring the first goal
    La kwanza: Philippe Coutinho wa Liverpool akishangilia na mwenzake Jordan Ibe baada ya kufunga bao la kwanza
    Opening account: Ibe scores his first goal for the first team at Deepdale
    Anafungua akaunti: Ibe amefunga bao lake la kwanza
    Preparations underway: Coutinho competes with Paul Huntington of Preston North End during the win
    Coutinho akichuana na Paul Huntington wa Preston North End
    Kolo Toure
    Kevin Davies
    Sura mpya: Wachezaji wapya Kolo Toure (kushoto) na Kevin Davies wa Preston
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: LIVERPOOL YAUA 4-0, KOLO TOURE ANG'ARA NA UZI MWEKUNDU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top