• HABARI MPYA

    Sunday, July 14, 2013

    MOYES AANZA VIBAYA KIBARUA MAN UNITED, APIGWA 1-0 BANGKOK

    IMEWEKWA JULAI 14, 2013 SAA 9:30 USIKU
    KOCHA mpya wa Manchester United, David Moyes jana ameanza kazi vibaya baada ya  kuchapwa 1-0 na wenyeji Singha All Stars XI mjini Bangkok.
    Bao lililomfanya Moyes aweke kumbukumbu ya kuanza vibaya Man United lilifungwa dakika ya 50 na mchezaji anayevaa jezi namba 14 wa All-Stars, Teeratep Wonothai kwa shuti la mbali. Start of the season friendly: David Moyes gesticulates angrily as his United side look sluggish
    Mwanzo mbaya: David Moyes amefungwa katika mechi ya kwanza kaziniFiring in: Tom Cleverley runs away from Mario Djurovski and takes a shot
    Tom Cleverley akimtoka Mario Djurovski 
    England striker: Danny Welbeck tussles with Singha All Star's Kim Yoo-Jin
    Danny Welbeck akikabiliana na Kim Yoo-JinBack in a red shirt: Left-back Fabio Da Silva runs away with the ball
    Beki wa kushoto, Fabio Da Silva akiambaa na mpira
    Good workout: Ben Amos punches a cross away with Rio Ferdinand in front of him
    Ben Amos akipangua mpira huku Rio Ferdinand akiwa tayari kumsaidia.
    Starting XI: David Moyes first team to play under his stewardship
    11 walioanza: Hiki ndicho kikosi cha David Moyes katika mechi yake ya kwanza Man United 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MOYES AANZA VIBAYA KIBARUA MAN UNITED, APIGWA 1-0 BANGKOK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top