![]() |
| Zahor Pazi akijiandaa kumlamba chenga Jonathan Mugabi |
![]() |
| Ramadhan Singano 'Messi' akimtoka Lutimba Yayo |
![]() |
| Betram Mombeki wa Simba SC akimiliki mpira mbele ya mabeki wa URA |
![]() |
| Betram Mombeki akipasua ngome ya URA |
![]() |
| Ramadhani Singano 'Messi' akidhibitiwa na Oscar Agaba wa URA |
![]() |
| Elkanah Nkugwa wa URA aliyelala kuupitia mpira miguuni mwa Marcel Biniventura wa Simba SC |
![]() |
| Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira (kushoto) akishangaana na mabeki wake, Samuel Ssenkoom na Nassor Masoud 'Chollo' baada ya URA kupata bao la pili |
![]() |
| Derick Walullya akimtoka beki mwenzake, Issa Rashid 'Baba Ubaya' wa Simba SC |
![]() |
| Adeyoum Saleh Ahmed akipasua katikati ya mabeki wa URA |
![]() |
| Elkanah Nkugwa wa URA akimdhibiti Marcel Boniventura wa Simba SC |
![]() |
| Jonathan Mugabi wa URA baada ya kuumizwa kwa kiwiko Betram Mombeki wa Simba SC hadi akashindwa kuendelea na mchezo. Mombeki alitolewa kwa kadi nyekundu. |
![]() |
| Ramadhan Singano 'Messi' akionyesha utundu wa kucheza na mpira hadi chini |
![]() |
| Raha ya mechi bao; Wachezaji wa Simba SC, Issa Rashid 'Baba Ubaya' na Zahor Pazi wakimpongeza Betram Mombeki kwa kufunga bao |
![]() |
| Marcel Boniventura akikabiliana na Derick Walullya |
![]() |
| 11 wa URA walioanza leo |
![]() |
| 11 wa Simba SC walioanza leo |
![]() |
| Simba SC ya wazalendo; Kocha Mkuu wa Simba SC, Alhaj ABdallah Athumani Seif 'King Kibaden' kushoto, akiwa na Msaidizi wake, Jamhuri Mussa Kihwelo na Meneja Nicodemus Menard Nyagawa kulia |
![]() |
| Nahodha wa URA, Joseph Owino akiwaongoza wachezaji wenzake wa timu hiyo ya Uganda kuwasalimia wachezaji wa Simba SC |





















.png)