• HABARI MPYA

    Saturday, August 10, 2013

    MAN UNITED YAFUMULIWA 3-1 NA SEVILLA, MOYES MIKOSI MITUPU

    IMEWEKWA AGOSTI 9, 2013 SAA 6:11 USIKU
    MAMBO yameendelea kuwa magumu katika hatua za mwanzoni kwa kocha David Moyes, baada ya leo Manchester United kuchapwa mabao 3-1 na Sevilla katika mechi maalumu ya kumuaga Rio Ferdinand Uwanja wa Trafford.
    Katika mchezo huo ulioshuhudiwa na mashabiki zaidi ya 40,000, mabao ya Sevilla yamefungwa na Perotti dakika ya 21, Marin dakika ya 25 na Rabello dakika ya 91, wakati bao la kufutia machozi la United limefungwa na Valencia dakika ya 65.
    Kikosi cha Manchester United kilikuwa; De Gea, Fabio, Ferdinand, Smalling, Buttner, Valencia/Carrick dk65, Anderson/Giggs dk65, Cleverley/Jones dk46, Januzaj, Kagawa/Zaha dk65 na Henriquez/Lingard dk46.
    Sevilla: Beto, Figueiras, Fazio, Pareja/Puerto dk56, Alberto, Medel, Kondognbia, Marin, Perotti, Vitolo na Bacca.
    Testimonial: Rio was serenaded by the United supporters ahead of the match with Sevilla
    Kuaga: Rio akiwapungia mkono mashabiki wa United kabla ya kuanza kwa mechi na Sevilla
    Testimonial: Rio was serenaded by the United supporters ahead of the match with Sevilla
    Sign of the times: United have a new manager in the dug out after Moyes arrived to take his position
    Kocha mpya wa United, Moyes akisaini autographs wakati anaingia uwanjani
    Sign of the times: United have a new manager in the dug out after Moyes arrived to take his position
    Thanks for coming: Rio acknowledges the fans as he makes his way onto the Old Trafford turf
    Thanks for coming: Rio acknowledges the fans as he makes his way onto the Old Trafford turf
    Asante kwa kuja: Rio akiwapungia mikono mashabiki wakati anaingia uwanjani Old Trafford
    Making his Marko: Marin scored as the Spaniards eased to victory over United
    Marin akifunga
    Making his Marko: Marin scored as the Spaniards eased to victory over United
    Part poopers! Vitolo opened the scoring for the visitors after 21 minutes
    Vitolo akifunga bao la kwanza dakika ya 21
    United front: Ferdinand poses with Sevilla FC president Jose Maria del Nido (left) before kick-off
    Ferdinand akiwa na Rais wa Sevilla FC, Jose Maria del Nido kabla ya mechi
    United front: Ferdinand poses with Sevilla FC president Jose Maria del Nido (left) before kick-off 

    Rio akipiga kazi ya mwisho United
    Look who's turned up! Only kidding, it was just a girl with a Rooney mask after all
    Look who's turned up! Only kidding, it was just a girl with a Rooney mask after all
    Mashabiki wakiwa na picha za Rooney, ambaye anataka kuondoka.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN UNITED YAFUMULIWA 3-1 NA SEVILLA, MOYES MIKOSI MITUPU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top