IMEWEKWA AGOSTI 16, 2013 SAA 11:00 ALFAJIRI
LIGI Kuu England imerudi baada ya kipindi kirefu cha kiangazi, mwisho wa wiki hii ndio inaanza rasmi katika moja ya msimu utakao kuwa wa kusisimua zaidi kwenye miaka ya karibuni, hii ni baada ya mabadiliko kwenye klabu za ligi kuu.
Unapozungumzia mabadiliko hutakiwi kwenda mbali zaidi ya kwa mabingwa watetezi, Manchester United. Baada ya miaka 27 na mataji 38, Sir Alex Ferguson amestaafu kuifundisha timu hiyo. David Moyes ndiye mtu anayeziba nafasi yake, kocha huyo wa zamani wa Everton alichaguliwa na Fergie mwenyewe.
Lakini swali ni je, United wataendeleza ushindi chini Mscotland huyo? Wakati hii mustakabali wa Wayne Rooney bado haueleweki na timu hiyo imefanya vibaya kwenye mechi za matayarisho ya msimu mpya na huo siyo mwanzo mzuri kwa Moyes.
LIGI Kuu England imerudi baada ya kipindi kirefu cha kiangazi, mwisho wa wiki hii ndio inaanza rasmi katika moja ya msimu utakao kuwa wa kusisimua zaidi kwenye miaka ya karibuni, hii ni baada ya mabadiliko kwenye klabu za ligi kuu.
Unapozungumzia mabadiliko hutakiwi kwenda mbali zaidi ya kwa mabingwa watetezi, Manchester United. Baada ya miaka 27 na mataji 38, Sir Alex Ferguson amestaafu kuifundisha timu hiyo. David Moyes ndiye mtu anayeziba nafasi yake, kocha huyo wa zamani wa Everton alichaguliwa na Fergie mwenyewe.
Lakini swali ni je, United wataendeleza ushindi chini Mscotland huyo? Wakati hii mustakabali wa Wayne Rooney bado haueleweki na timu hiyo imefanya vibaya kwenye mechi za matayarisho ya msimu mpya na huo siyo mwanzo mzuri kwa Moyes.
NENDA CHINI KAGONGE USOME KUHUSU KILA KLABU YA LIGI KUU ENGLAND MSIMU HUU
Viatu vikubwa: Kocha mpya wa Manchester United, David Moyes amerithi mikoba ya Sir Alex Ferguson baada ya miaka 27
Amerudi: Jose Mourinho amerejea kazini Chelsea
Upande wa pili wa mji, Manchester City kuna mabadiliko pia, Roberto Mancini ametimuliwa na nafasi yake kuchukuliwa na Manuel Pellegrini.
Kikosi tayari kinamabadiliko, City wamefanya usajili wa pauni milioni 90 kwa kuleta vipaji kama Fernandinho, Alvaro Negredo, Stevan Jovetic na Jesus Navas. Presha inabaki kwa Pellegrini kurudisha taji la ‘Premier’ Etihad.
Wapinzani wa miamba ya Manchester watakuwa Chelsea, ambao wamemrudisha 'Special One', Jose Mourinho. Kurudi kwa Mreno huyo kumewafanya Chelsea kupewa nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa msimu huu, kutokana na msaada wa mastaa wapya Andre Schurrle na Marco van Ginkel. Klabu bado inamuwania Rooney na saini yake itahamisha utawala kutoka Manchester hadi London.
Vita ya kuwania nafasi ya nne itakuwa kali zaidi, baada ya Tottenham kutumia fedha nyingi kuishusha Arsenal kwenye nafasi hiyo, lakini je, ujio wa Paulinho, Nacir Chadli na Roberto Soldado utaziba pengo la Gareth Bale kama akiondoka?
Mashabiki wa Arsenal kama kawaida yao wamekuwa na mawazo kwenye dirisha la usajili. Wamemsajili Yaya Sanogo pekee, tena bure kutoka Auxerre, licha ya kuhusishwa kuwania saini ya staa wa Liverpool, Luis Suarez.
Kikosi tayari kinamabadiliko, City wamefanya usajili wa pauni milioni 90 kwa kuleta vipaji kama Fernandinho, Alvaro Negredo, Stevan Jovetic na Jesus Navas. Presha inabaki kwa Pellegrini kurudisha taji la ‘Premier’ Etihad.
Wapinzani wa miamba ya Manchester watakuwa Chelsea, ambao wamemrudisha 'Special One', Jose Mourinho. Kurudi kwa Mreno huyo kumewafanya Chelsea kupewa nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa msimu huu, kutokana na msaada wa mastaa wapya Andre Schurrle na Marco van Ginkel. Klabu bado inamuwania Rooney na saini yake itahamisha utawala kutoka Manchester hadi London.
Vita ya kuwania nafasi ya nne itakuwa kali zaidi, baada ya Tottenham kutumia fedha nyingi kuishusha Arsenal kwenye nafasi hiyo, lakini je, ujio wa Paulinho, Nacir Chadli na Roberto Soldado utaziba pengo la Gareth Bale kama akiondoka?
Mashabiki wa Arsenal kama kawaida yao wamekuwa na mawazo kwenye dirisha la usajili. Wamemsajili Yaya Sanogo pekee, tena bure kutoka Auxerre, licha ya kuhusishwa kuwania saini ya staa wa Liverpool, Luis Suarez.
Vimwaga: Manchester City imetumia Pauni Milioni 90, na kumuajiri Manuel Pellegrini kujaribu kurejesha taji lao la Ligi Kuu
Uwekezaji: Norwich imetumia vizuri, imemsajili Ricky van Wolfswinkel (kushoto), wakati Cardiff City imevunja rekodi yake ya usajili mara tatu katika jaribio la kubakia Ligi Kuu kwa kumsajili - Gary Medel (kushoto) aliyewagharimu Pauni Milioni 11
Kwa upande wa Suarez, hakuna mtu pale Anfield anayejua kama anabaki au anaondoka, zaidi yake mwenyewe.
Uwekezaji uliofanywa na Norwich City unawafanya kuwa miongoni mwa timu zinazoweza kumaliza katika 10 bora, wakati Aston Villa na Sunderland wamefanya mabadiliko kibao na watapanda zaidi ya msimu uliopita.
Swansea wanatarajiwa kupanda zaidi ya msimu ujao na kujizatiti zaidi kwenye michuano ya Ulaya.
Wageni Cardiff City wameshathibitisha kwamba wamepania kufanya makubwa kwa kuvunja rekodi yao ya usajili mara tatum wakati Palace pia wamevunja benki kumsajili Dwight Gayle kutoka Peterborough. Steve Bruce amefanya usajili wa akili sana kuhakikisha Hull City wanabaki juu.
Kwingineko kocha wa muda mrefu wa Stoke City, Tony Pulis aliachana na timu hiyo na nafasi yake kuchukuliwa na Mark Hughes na Roberto Martinez amemrithi Moyes, Everton. Newcastle United hatimaye wamamnasa Loic Remy baada ya kuwa kimya kwenye wakati wa kiangazi.
Nini kitatokea? Hakuna anayejua, lakini tunasubiri kwa hamu kuona.
Uwekezaji uliofanywa na Norwich City unawafanya kuwa miongoni mwa timu zinazoweza kumaliza katika 10 bora, wakati Aston Villa na Sunderland wamefanya mabadiliko kibao na watapanda zaidi ya msimu uliopita.
Swansea wanatarajiwa kupanda zaidi ya msimu ujao na kujizatiti zaidi kwenye michuano ya Ulaya.
Wageni Cardiff City wameshathibitisha kwamba wamepania kufanya makubwa kwa kuvunja rekodi yao ya usajili mara tatum wakati Palace pia wamevunja benki kumsajili Dwight Gayle kutoka Peterborough. Steve Bruce amefanya usajili wa akili sana kuhakikisha Hull City wanabaki juu.
Kwingineko kocha wa muda mrefu wa Stoke City, Tony Pulis aliachana na timu hiyo na nafasi yake kuchukuliwa na Mark Hughes na Roberto Martinez amemrithi Moyes, Everton. Newcastle United hatimaye wamamnasa Loic Remy baada ya kuwa kimya kwenye wakati wa kiangazi.
Nini kitatokea? Hakuna anayejua, lakini tunasubiri kwa hamu kuona.
WASIFU WA KLABU KWA KLABU
(Gonga usome klabu uiepndayo kwa undani zaidi)
NAFASI YA KILA KLABU KATI YA ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU MSIMU HUU
ZINAZOONGOZA MBIO UBINGWA...
9/4 Chelsea
9/4 Chelsea
9/4 Man City
5/2 Man Untied
10/1 Arsenal
16/1 Liverpool
40/1 Tottenham
500/1 Everton
1250/1 Newcastle
2000/1 West Brom
2000/1 West Ham
2000/1 Aston Villa
2000/1 Southampton
2500/1 Swansea
2500/1 Fulham
3000/1 Stoke
3000/1 Sunderland
5000/1 Cardiff
5000/1 Norwich
7500 /1Hull
10000/1 Crystal Palace
ZINAZOONGOZA KUSHUKA LIGI KUU
4/7 Crystal Palace
8/13 Hull
13/8 Cardiff
11/4 Stoke
11/4 Norwich
9/2 Sunderland
5/1 Fulham
15/2 West Brom
8/1 Newcastle
8/1 Swansea
8/1 Aston Villa
10/1 West Ham
10/1 Southampton
22/1 Everton
250/1 Tottenham
300/1 Liverpool
750/1 Arsenal
2500/1 Chelsea
5000/1 Man United
5000/1 Man City
1/10 Chelsea
1/10 Man City
1/10 Man United
8/13 Arsenal
13/8 Liverpool
15/8 Tottenham
22/1 Everton
50/1 Newcastle
125/1 West Ham
125/1 Swansea
125/1 Southampton
150/1 West Brom
150/1 Aston Villa
150/1 Fulham
200/1 Stoke
200/1 Sunderland
300/1 Hull
300/1 Norwich
300/1 Cardiff
500/1 Crystal Palace
KUISHIA 'TOP SIX'...
1/250 Chelsea
1/250 Man City
1/250 Man United
1/33 Arsenal
2/9 Arsenal
2/9 Liverpool
4/1 Everton
14/1 Southampton
14/1 Newcastle
16/1 Swansea
20/1 West Brom
20/1 Aston Villa
20/1 West Ham
25/1 Sunderland
25/1 Fulham
28/1 Norwich
33/1 Stoke
50/1 Cardiff
100/1 Hull
200/1 Crystal Palace
1/33 Newcastle
1/20 West Ham
1/16 Aston Villa
1/16 Southampton
1/12 Swansea
1/10 West Brom
1/10 Fulham
1/8 Sunderland
1/5 Stoke
2/7 Norwich
4/9 Cardiff
6/5 Hull
5/4 Crystal Palace
KUMALIZA MKIANI...
9/4 Crystal Place
7/2 Hull
6/1 Cardiff
9/1 Norwich
10/1 Stoke
11/1 Sunderland
20/1 Fulham
20/1 Swansea
20/1 West Brom
22/1 Southampton
25/1 Aston Villa
40/1 West Ham
50/1 Newcastle