• HABARI MPYA

    Saturday, November 02, 2013

    EZEKIEL KAMWAGA 'MR. LIVERPOOL', WA SIMBA SC APATA JIKO, ANASA KWA BINTI WA KITANGA

    Ofisa Habari wa klabu ya Simba SC, Ezekiel Kamwaga 'Mr. Liverpool' akimpiga busu mkewe, Ummy Kurthum Mussa mwenyeji wa Tanga, baada ya kufunga naye pingu za maisha, mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Landmark, Ubungo, Dar es Salaam. 

    Kamwaga, mkewe na wanandugu

    Kamwaga na mkewe

    Kamwaga akimvisha pete mkewe

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EZEKIEL KAMWAGA 'MR. LIVERPOOL', WA SIMBA SC APATA JIKO, ANASA KWA BINTI WA KITANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top