Mchezaji wa timu ya mashabiki wa Simba kwa wanawake, Mwile Simon akikimbia na mpira wakati beki wa
mashabiki wa Yanga, Anastella Elias akijiandaa kuzuia hatari isitokee golini
kwake kwenye bonanza la mashabiki wa timu hizo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika
uwanja wa Namfua wa mkoani Singida, kushoto ni, Salage Mbulanzu. Simba ilishinda 1-0. Picha na Rafael Lubava.
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment