![]() |
| Kipa wa Tusker, Samuel Odhambo akiokoa hatari langoni mwake dhidi ya mshambuliaji wa Ashanti |
![]() |
| Mshambuliaji wa Ashanti United, Kassim Kilungo kushoto akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tusker kulia |
![]() |
| Mchezaji wa Tusker akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Ashanti, |
![]() |
| Wachezaji wa Tusker kulia na wa Ashanti kushoto wakigombea mpira wa juu |
![]() |
| Samuel Odhiambo aliinyima mabao Ashanti leo |
![]() |
| Kiungo wa Ashanti, Malik Jaffar akiambaa kulia |
![]() |
| Kikosi cha Ashanti leo |
![]() |
| Benchi la Ufundi; Kutoka kulia kocha wa makipa, Mfaume Athumani, Kocha Msaidizi, Nico Kiondo na Kocha Mkuu Alhaj Abdallah Athumani Seif 'King Kibaden' |











.png)
0 comments:
Post a Comment