![]() |
Mfungaji wa penalti ya mwisho ya APR, Jeann Baptiste Mugiraneza kulia akifurahia na kipa wake |
![]() |
Wachezaji wa El Merreikh ya Sudan kushoto na KCC ya Uganda kulia katika Nusu Fainali ya kwanza jana. Merreikh ilishinda kwa penalti 3-0 kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 120 |
![]() |
Wachezaji wa APR na Polisi wakipambana jana |
![]() |
Wachezaji wa Merreikh wakimpongeza kipa wao Magoola Salim baada ya kuokoa penalti mbili jana |
0 comments:
Post a Comment