Kocha wa Newcastle United, Alan Pardew (kulia) akijipangusa mkono wake usoni leo baada ya timu yake kuchapwa mabao 4-0 na Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.
Mashabiki wa Newcastle United wakiwa na bang la kushinikiza kocha afukuze 'SackPardew.com'
Mashabiki wa Newcastle United wakiwa bango la kumkejeli kocha huyo 'Pardew is a muppet'
Mashabiki wa Newcastle United wakimtolea mane no makali Alan Pardew Uwanja wa St Mary's leo
Mashabiki wa Newcastle United wakiwa na bango la kutaka kocha huyo afukuzwe 'Pardew Out'
0 comments:
Post a Comment