![]() |
| Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akimtoka beki wa Prisons, Jacob Mwakalobo |
![]() |
| Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima kulia akimtoka beki wa Prisons, Freddy Chudu |
![]() |
| Beki wa Yanga SC, Edward Charles kulia akimtoka beki wa Prisons, Julius Kwangwa |
![]() |
| Simon Msuva akimtoka beki wa Prisons |
![]() |
| Kiungo Mbrazil wa Yanga SC, Andrey Coutinho akipasua katikati ya wachezaji wa Prisons |
![]() |
| Beki wa Prisons, Nurdin Chona akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga SC, Mbrazil Genilson Santana Santos 'Jaja' |
![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Genilson Santana Santos 'Jaja' akiruka kwanja la beki wa Prisons |










.png)
0 comments:
Post a Comment